Comedian wa Kibongo, Babu Ayoub ambaye hivi karibuni ameibuka na staili yake ya kunywa bia kupitia chupa ya mtoto amegeukia kunako upande wa muziki wa taarabu na ishu iliyodondoka punde tayari ana mashabiki kibao kupitia ngoma yake yenye jina la 'Chaja ya Kobe'. Hivi ni kweli muziki wa kizazi kipya hivi sasa umefulia ndiyo maana wasanii wengi wanaamua kubadili upepo? Kama wewe unaijali Bongo Flava kama mimi hebu tujadili jinsi ya kuirudisha kwenye chati.
Wednesday, February 10, 2010
Posted in | |
0 Comments »
TEMBELEA DUKA LA KIJANJA, MC VIDEO CLASSIC LILILOPO KIBAMBA (NJIAPANDA YA SHULE), DAR ES SALAAM UJIPATIE MOVIE ZA KIBONGO, COLLECTIONS MOVIES, CD ZA MUZIKI WA GOSPEL, BONGO FLAVA, VIFAA VYA SIMU, UREMBO N.K. KARIBU SANA
UNAJUA KUDANSI?
JE, WEWE NI MKALI WA KUPIGA SHOO NA HAUJUI UTAFANYA NINI?. NJOO UJIUNGE NA BADUGU DANCES. CHEKI NA SISI 0715 110 173, 0787 110 173 , 0717-340387. TIMIZA NDOTO ZAKO.
One Responses to "BABU AYOUB NDANI YA TAARABU"