ILI MUZIKI WETU UWEZE KWENDA KIMATAIFA NI LAZIMA TUBADILIKE, SAPOTI YAKO PIA MUHIMU

Farida

Kabago
Farida (kushoto) akipozi na Kabago

Kutoka pande za Rock City a.k.a Mwanza, mchizi aliyepata kutamba na kundi lake la BWV la jijini humo, Phillibert Kabago ameweza kufanya mpango mzima wa kumrudisha Farida aliyepotea kwa miaka mingi kupitia ngoma yenye jina la 'Wivu' ambayo mwanadada huyo kaonesha uweza wa juu. Ngoma hiyo iliyofanyika kupitia Tetemesha Records tayari imeanza kufanya vyema kupitia vituo kadhaa vya redio huku maandalizi ya video yakiendelea.














Wednesday, February 10, 2010 Posted in | | 0 Comments »

One Responses to "KABAGO AMRUDISHA FARIDA"

Write a comment