

"Hivi sasa tayari nimeshakabidhi albamu kwa mdosi, ninachosubiri ni kugonga kopi tu. Kazi itakayotambulisha albamu hiyo yenye jina la Goma la Uswazi inaitwa Umeshaniumiza, ni poteza la ukweli ambalo litanirudisha kwenye game 2010. Mwaka ndo umeanza, nimejipanga vya kutosha ili kuhakikisha nasimama kama zamani.
"Albamu ina ngoma nane zikiwemo Goma la Uswazi iliyobeba jina, utanipa na nyingine kibao. Pia mashabiki wangu watakutana na vichwa kama Hussein Machozi, Omari Mkali, Tundaman na vingine kibao ambavyo nimevipa shavu," alisema H. Baba.
Thursday, February 18, 2010
Posted in | |
0 Comments »
One Responses to "H.BABA: UCHAWI BASI, SASA KAZI"