Siku zimesogea na mwisho wa ubishi unakaribia, shindano la kumpata ‘handsome boy’ mwenye jina kubwa nchini, Ijumaa Sexiest Bachelor linaelekea ukingoni na Desemba 20, 2009 ndiyo fainali yenyewe.
Mzigo wa kumpata Ijumaa Sexiest Bachelor 2009, utamalizwa ubishi kwenye Ukumbi wa TCC Club, Chang’ombe, Dar es Salaam ambapo mastaa wanne, waliobaki mmoja wao atakabidhiwa taji.
Mpango kamili utasindikizwa na Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta International’ ambayo kwa sasa inatawala soko la muziki wa dansi kwa nyimbo zake ziliziopo kwenye chati.
Handsome Boys, Hemed Suleiman, Lawrence Malima ‘Marlaw’, Yusuf Mlela na Steven Kanumba, kati yao ataibuka na taji hilo linaloheshimiwa zaidi na wadau wa burudani nchini.
Steven Kanumba ndiye anayeshikilia taji hilo ambalo alilitwaa mwaka juzi baada ya kumwaga kwenye fainali, golikipa wa Simba, Juma Kaseja kwa kura chache na romantic vocalist wa Bongo Flava, Aboubakar Katwila ‘Q Chillah’.
Ni nani anayedatisha, Hemed, Kanumba, Yusuf au Marlaw? Jibu litapatikana Jumapili ya Desemba 20, ndani ya TCC Club, huku burudani ya kutakata ‘ikifanzwa’ kwa ukamilifu na Twanga.
Ijumaa Sexiest Bachelor, imedhaminiwa na Zizzou Fashion, Dotnata Decoration, African Stars Entertainment Tanzania (ASET) na Sceen Masters.
Bado unaweza kumfanya staa wako ashinde kwa kutuma ujumbe wa simu (SMS), ukiandika nambari yake ya ushiriki kwenda namba 15551.

About Me
MC Logo

PHOTOS
SHOW BIZ HITZ
BONGO HITZ
OLD SCHOOL FLAVA
Powered by Blogger.
Blog Archive
-
▼
2009
(77)
-
▼
December
(10)
- MLELA AKABIDHIWA ZAWADI ZIZZOU
- SIKU CHACHE BAADA YA USHINDI
- MIMI NA WALTER UMETUSOMA?
- SIKU MLELA ALIPOIBUKA IJUMAA SEXIEST BACHELOR
- UNAWAJUA WANA WA PINDA?
- USO KWA USO NA ELIZA WA BBA
- MWAKA MMOJA KIFO CHA MAMA'KE A.Y
- HII NDIYO VIDEO MPYA YA A.Y
- KAMATA DINGA YA UKWELI
- MWISHO WA UBISHI IJUMAA SEXIEST B J'2?
-
▼
December
(10)
G5 WORLD
ILI MUZIKI WETU UWEZE KWENDA KIMATAIFA NI LAZIMA TUBADILIKE, SAPOTI YAKO PIA MUHIMU
Tuesday, December 15, 2009
Posted in | |
0 Comments »
KARIBU SANA

JE, WEWE NI MJANJA?
TEMBELEA DUKA LA KIJANJA, MC VIDEO CLASSIC LILILOPO KIBAMBA (NJIAPANDA YA SHULE), DAR ES SALAAM UJIPATIE MOVIE ZA KIBONGO, COLLECTIONS MOVIES, CD ZA MUZIKI WA GOSPEL, BONGO FLAVA, VIFAA VYA SIMU, UREMBO N.K. KARIBU SANA
UNAJUA KUDANSI?
JE, WEWE NI MKALI WA KUPIGA SHOO NA HAUJUI UTAFANYA NINI?. NJOO UJIUNGE NA BADUGU DANCES. CHEKI NA SISI 0715 110 173, 0787 110 173 , 0717-340387. TIMIZA NDOTO ZAKO.
SHOUT OUT !!
Followers
My Blog List
-
-
-
-
SIMBA SC. YAWEKA SOKONI MAJI YAKE!8 years ago
-
-
HARD PRICE COMING SOON11 years ago
-
-
-
Aslay Akifanya Vitu vyake13 years ago
-
-
-
-
One Responses to "MWISHO WA UBISHI IJUMAA SEXIEST B J'2?"