Hizi ni baadhi ya picha zinazopatikana ndani ya video ya ngoma ya Mambo Bado ya kwake Chegge featureling Lady Jaydee.
Nani asiyefahamu kwamba mtoto wa Mama Said, Chegge Chigunda kutoka Kiumeni hivi sasa yuko hewani na ngoma mpya? Naweza kusema mwaka huu umeanza poa kwake kwaku kazi hiyo yenye jina la Mambo Bado iliyompa shavu Lady Jaydee inakimbiza mbaya kunako luninga na redio. Big Kijana kwa kazi nzuri.
Saturday, January 30, 2010
Posted in | |
0 Comments »
One Responses to "NI ZAMU YA CHEGGE NA MAMBO BADO"
TEMBELEA DUKA LA KIJANJA, MC VIDEO CLASSIC LILILOPO KIBAMBA (NJIAPANDA YA SHULE), DAR ES SALAAM UJIPATIE MOVIE ZA KIBONGO, COLLECTIONS MOVIES, CD ZA MUZIKI WA GOSPEL, BONGO FLAVA, VIFAA VYA SIMU, UREMBO N.K. KARIBU SANA
UNAJUA KUDANSI?
JE, WEWE NI MKALI WA KUPIGA SHOO NA HAUJUI UTAFANYA NINI?. NJOO UJIUNGE NA BADUGU DANCES. CHEKI NA SISI 0715 110 173, 0787 110 173 , 0717-340387. TIMIZA NDOTO ZAKO.
One Responses to "NI ZAMU YA CHEGGE NA MAMBO BADO"