Hii ni ngoma yangu mpya baada ya ile ya Hadithi, yaitwa 'Narudi Nyumbani', nimewashirikisha Cheleaman na Zuhura, kazi imefanyika Bamba Rec iliyopo Mbezi, Kibamba chini ya Producer Mobbaizoh aliyegonga ngoma ya Dongo Janja yenye jina la 'Anajua'. kazi hii tayari ipo katika baadhi ya vituo vya redio huku nikifanya maandalizi ya video yake. Nafahamu. Huu ni muendelezo wa kazi zangu za muziki mpaka kukamilisha albamu yenye jina la Historia ambayo itakuwa na nyimbo 8, bado kazi 3 ikamilike. Asante kwa sapoti yako mdau. Waweza kuisikiliza ngoma hapo juu kushoto.
TEMBELEA DUKA LA KIJANJA, MC VIDEO CLASSIC LILILOPO KIBAMBA (NJIAPANDA YA SHULE), DAR ES SALAAM UJIPATIE MOVIE ZA KIBONGO, COLLECTIONS MOVIES, CD ZA MUZIKI WA GOSPEL, BONGO FLAVA, VIFAA VYA SIMU, UREMBO N.K. KARIBU SANA
UNAJUA KUDANSI?
JE, WEWE NI MKALI WA KUPIGA SHOO NA HAUJUI UTAFANYA NINI?. NJOO UJIUNGE NA BADUGU DANCES. CHEKI NA SISI 0715 110 173, 0787 110 173 , 0717-340387. TIMIZA NDOTO ZAKO.
One Responses to "HII NDIYO NGOMA YANGU MPYA"