Msanii Khadija Shaban ‘K-Sher’ a.k.a Mama Jamkay ametambulisha ngoma mpya yenye jina la 'Hamu' ukimshirikisha Marlaw akimaanisha kwamba baada ya kimya kirefu a.k.a likizo ya uzazi sasa anarudi tena sanaani ili kuendeleza pale alipoishia wakati anafanya vizuri na nyimbo kama Uvumilivu na Tunda. Binafsi huwa nazikubali kazi zake ni nimeipokea kwa mikono miwili traki hii itakayofuatiwa na video yake, wewe je?
TEMBELEA DUKA LA KIJANJA, MC VIDEO CLASSIC LILILOPO KIBAMBA (NJIAPANDA YA SHULE), DAR ES SALAAM UJIPATIE MOVIE ZA KIBONGO, COLLECTIONS MOVIES, CD ZA MUZIKI WA GOSPEL, BONGO FLAVA, VIFAA VYA SIMU, UREMBO N.K. KARIBU SANA
UNAJUA KUDANSI?
JE, WEWE NI MKALI WA KUPIGA SHOO NA HAUJUI UTAFANYA NINI?. NJOO UJIUNGE NA BADUGU DANCES. CHEKI NA SISI 0715 110 173, 0787 110 173 , 0717-340387. TIMIZA NDOTO ZAKO.
One Responses to "K-SHER NA NGOMA MPYA, MTOTO MPYA"