Safu maarufu ya Mpaka Home inayopatikana ndani ya Gazeti la Risasi, J'5, Nov 23, 2009 ilitimiza umri wa miaka minne, sherehe fupi ya Birthday hiyo ilifanyika Ijumaa ya wiki iliyopita katika ofisi zetu zilizopo Sinza, Bamaga, Dar es Salaam. Baadhi ya mastaa wa Bongo waliyowahi kutembelewa na Mpaka Home walikuwa ni miongoni mwa wageni waalikwa katika tafrija hiyo fupi. Hebu cheki tulivyoinjoi.




Sunday, November 29, 2009
Posted in | |
0 Comments »
One Responses to "MIAKA 4 YA MPAKA HOME, FULL FURAHA"