"Usiombe uchawi wa mzungu (video kamera) uwe mbele yako halafu uambiwe ongea, hasa kujibu maswali. Lakini m2mzima nilimudu, siunaona"
Wiki hii warembo wanaowania taji la Miss Kiswahili, walidondoka pande za ofisini kwetu wakiongozwa na timu ya wafanyakazi wa kituo cha televisheni cha c2c ili kujionea maujanja tunayotumia katika kuandaa magazeti yetu. Mimi pia nilipata chansi ya kupoga nao stori na kujibu maswali niliyoulizwa na warembo hao kupitia kwa mtangazaji, Anti Lulu anayefanya vyema katika vipindi kama DK 5, Nyumbani ni Nyumbani na vingine vya TV hiyo ya kijanja.
Friday, August 21, 2009
Posted in | |
0 Comments »
One Responses to "WAREMBO WA KISWAHILI WALIPONITAIT KWA MASWALI"
TEMBELEA DUKA LA KIJANJA, MC VIDEO CLASSIC LILILOPO KIBAMBA (NJIAPANDA YA SHULE), DAR ES SALAAM UJIPATIE MOVIE ZA KIBONGO, COLLECTIONS MOVIES, CD ZA MUZIKI WA GOSPEL, BONGO FLAVA, VIFAA VYA SIMU, UREMBO N.K. KARIBU SANA
UNAJUA KUDANSI?
JE, WEWE NI MKALI WA KUPIGA SHOO NA HAUJUI UTAFANYA NINI?. NJOO UJIUNGE NA BADUGU DANCES. CHEKI NA SISI 0715 110 173, 0787 110 173 , 0717-340387. TIMIZA NDOTO ZAKO.
One Responses to "WAREMBO WA KISWAHILI WALIPONITAIT KWA MASWALI"