Huyu pia alivutiwa akajisogeza pale kati Uwanja wa Uhuru

KR na TMK famili waliwakilisha

Dogo Mfaume

Abuu Fleva a.k.a Tanzanite

Wachezaji shoo wa Abuu Fleva

Berry Black

AT kazini

Muumini na Bwagamoyo Sound

Mnenguaji wa Bwagamoyo

Bwagamoyo Sound
Tamasha lililobeba ujumbe wa 'AMKA KIJANA" lilifanyika jana pale ndani ya Uwanja wa Uhuru na kuhudhuriwa na mashabiki lukuki, wengi wakiwa ni vijana ambao walihusika zaidi. Wasanii kibao walisababisha shangwe za kutosha na kurusha meseji kwenda kwa vijana wenzao ambao wanatakiwa kuganga yajayo baada ya kipindi cha uchaguzi mkuu wa 2010 kupita. Mwisho wa yote timu za Simba na Azam FC ziliangusha kandanda dimbani ambapo matokeo yalikuwa ni 3-2. Azam waliibuka na ushindi.
Sunday, November 21, 2010
Posted in | |
0 Comments »
One Responses to "AMKA KIJANA LILIVYOWAKILISHA"