ILI MUZIKI WETU UWEZE KWENDA KIMATAIFA NI LAZIMA TUBADILIKE, SAPOTI YAKO PIA MUHIMU


Hatimaye ile siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu imewadia. Vijana kutoka pande za Manzese, Dar, Tip Top Connection leo Siku Kuu ya Eid watamaliza kazi iliyokuwa mbele yao kwa utambulisho wa albamu mpya, Bado Tunapanda utakaopigwa ndani ya Club Sunsiro iliyopo pande za Sinza. Unaonaje baadaye baadaye tukajiachie na wana? Siyo ishu ya kukosa.

Friday, September 10, 2010 Posted in | | 0 Comments »

One Responses to "TIP TOP KUMALIZA KAZI LEO"

Write a comment