ILI MUZIKI WETU UWEZE KWENDA KIMATAIFA NI LAZIMA TUBADILIKE, SAPOTI YAKO PIA MUHIMU

Rich One (kulia) akiongea na blog hii kuhusu ujio wao mpya
Baadhi ya wasanii waliodai kujitoa ndani ya kundi la TMK Wanaume Halisi linaloongozwa na Nature, juzi walitangaza kikosi chao kipya kikiwa na jumla ya silaha sita za maangamzi, yaani.
1.RICH ONE
2.MZIMU
3.DAZ P (BWANA MKUBWA)
4.KAKAMAN
5.A-MAN
6.JUMA JAZZ
Jamaa nao wanajiita 'WANAUME' na kwamba siku yoyote kuanzia sasa watadondosha kazi mpya kwa ajili ya kujitambulisha rasmi. ebwanadaah inawatakia safari njema na yenye mafanikio katika game nzima ya mzuki wao.

Friday, June 11, 2010 Posted in | | 0 Comments »

One Responses to "HAWA NDIYO WANAUME WAPYA"

Write a comment