ILI MUZIKI WETU UWEZE KWENDA KIMATAIFA NI LAZIMA TUBADILIKE, SAPOTI YAKO PIA MUHIMU





Wapenzi wa wakali wawili wa Hip Hop waliyofariki dunia miaka kadhaa iliyopita kwa kupigwa risasi huko Marekani, Hayati Tupac Omar Shakur na Christopher Wallence a.k.a B.I.G wamekumbukwa kwa kutengenezewa sanamu za mastaa hao ikiwa ni njia mojawapo ya kuwaenzi kwa mchango mkubwa walioutoa kunako game ya muziki huo ambao hivi sasa unatambulika karibu ulimwengu mzima. Hizo juu ndiyo sanamu za mastaa hao waliotingisha ulimwengu.

Tuesday, June 22, 2010 Posted in | | 0 Comments »

One Responses to "TUPAC & B.I.G HAWA HAPA TENA"

Write a comment