ILI MUZIKI WETU UWEZE KWENDA KIMATAIFA NI LAZIMA TUBADILIKE, SAPOTI YAKO PIA MUHIMU

B-12 a.k.a Dazan wa XXL ya Clouds FM ndiye alikuwa stelingi wa shoo nzima

Michael Ross
Wahu
Temba & Chegge
Chegge
Temba
Mwisho wa siku nilikula pozi na Dj Choka
Pia nilishoo lavu na Mtoto wa Mama Said a.k.a Chegge

Juzi ndani ya Club Sun Cirro, Sinza, Dar es Salaam wanangu Temba na Chegge waliangusha 'Vita uwanjani' kupitia shoo ya ukweli iliyopewa jina la Usiku wa Mkono Mmoja. Kama ilivyotarajiwa na wengi, ndani ya uzinduzi huo wa albamu ya kina Chegge ilikuwa ni full shangwe pale mastaa kutoka Uganda na Kenya yaani Michael Ross na Wahu waliposimama stejini na kuonesha uwezo wao. Vijana pia walipewa sapoti ya kutosha na wanao wa TMK Wanaume family bila kulisahau chana la Tip Top Connection.

Sunday, June 6, 2010 Posted in | | 0 Comments »

One Responses to "USIKU WA MKONO MMOJA MZUKA"

Write a comment