Zuhura akiingiza vocal

Mimi pia kuna kitu nilifanya, kikiwa tayari nitawadondoshea wadau


Zurura na prodyuza Villy wa 24/7 Records

Mimi na Villy
Juzikati nilidondoka pande za Mikocheni 'Kwa Warioba' ndani ya studio za 24/7 nikakutana na mwanadada Zuhura a.k.a Limupenzi, tukapiga stori mbili tatu kisha wote tukaingiza vocal. Unajua mimi nilifanya nini?. Endelea kucheki hapa, mzigo ukiwa tayari ntaudondosha kwenu ili tushee idea.
Sunday, June 13, 2010
Posted in | |
0 Comments »
One Responses to "ZUHURA NDANI YA 24/7 RECORDS"