Akitafakari jambo enzi hizo

Ni furaha kwa kwenda mbele

Walter na Cralence wakiwa ndani ya T-shirt za Madiba

Kwa nyuma zinaonekana hivi

Kwa nyuma kuna ramani ndogo ya Afrika na picha yake
Leo Julai 18, 2010 ni siku ya furaha kwa mzee wetu, Nelson Mandela 'Madiba' a.k.a Baba wa Afrika kwakuwa ametimiza miaka 92 tangu alipokuja duniani. Blog hii inamtakia furaha njema na maisha marefu zaidi ukizingatia kwamba ndiyo kioo cha Afrika kwa sasa. Katika furaha hiyo mi pia nimehusika kwa kutengeneza t-shirt zenye picha kubwa ya Madiba kama unavyoziona. Unaweza kuwasiliana nami kwa anuani zilizopo juu ya blog hii kama unahitaji t-shirt hizo mpya na za kijanja.
Sunday, July 18, 2010
Posted in | |
0 Comments »
One Responses to "MIAKA 92 YA MZEE MADIBA LEO"