ILI MUZIKI WETU UWEZE KWENDA KIMATAIFA NI LAZIMA TUBADILIKE, SAPOTI YAKO PIA MUHIMU

Phillbert Kabago, mtangazaji wa redio Passion FM, Mwanza na msanii wa muziki wa kizazi kipya

"Inakuwaje Bro? Japo salamu zangu zimechelewa kuwafikia kutokana na matatizo ya umeme yanayolikabili taifa siyo mbaya nikizirusha kwamba, alentine day isiwe tu kwa wapenzi, tuitumie nafasi hii wasanii wa Tanzania kushow love kwa pamoja, tuungane tuwe kitu kimoja, tushirikiane, tusaidiane pale mmoja wetu anapokwama, pia anapokosea turekebishane siyo kusemana pembeni. Na kwa waliotoka tusiwe wachoyo wa mawazo kwa wale wanaohitaji ushauri na njia katika muziki ili muziki wetu ukue, pia utambulike zaidi, lazima tuwe wamoja. Tukiendekeza matabaka hatuwezi fika," One Love.

Read More......
Wednesday, February 16, 2011 Posted in | | 0 Comments »

Read More......
Sunday, February 6, 2011 Posted in | | 0 Comments »


Kila kitu huwa kina mwanzo na mwisho wake, japo katika mapenzi inawezekana kupigana chini tena kwa maneno ya kashfa na ngumi lakini baadae mkajikuta mmerudiana. Hapa mkali wa muziki wa Bongo Flava, Jaffari Ally Mshamu a.k.a Jaffarai alipokuwa katika uhuisiano mzuri na aliyekuwa mpenzi wake, Shyrose Bhanji kabla mchizi hajaamua kusalimu amri wiki hii huku akirusha 'mawe' kwa Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu kuwa ndiye aliyevunja uhusiano wao kwa kutoka na Shyrose.

Read More......
Posted in | | 0 Comments »

Read More......
Posted in | | 0 Comments »