ILI MUZIKI WETU UWEZE KWENDA KIMATAIFA NI LAZIMA TUBADILIKE, SAPOTI YAKO PIA MUHIMU

Kitu cha keki kilipendeza
Mi nilikua miongoni mwa watu wa mwanzo kulishwa keki
Ikafika zamu ya braza wake Sule kula keki
Balaa lilikuwa kwa MC wa shughuli hiyo ambaye alikula keki kwa mbwembwe

Juzi kati mshikaji wangu, Sule Junior 'Mtoto wa kitaa' alitimiza umri wa miaka kadhaa dunia, akaangusha bonge ya katafrija kule kwetu pande za Kawe (kama zinavyoonekana baadhi ya picha hapa ebwanadaah).

Read More......
Friday, April 29, 2011 Posted in | | 0 Comments »

Baada ya pilika za Sikukuu ya Pasaka sasa mishemishe zinaendelea, kaeni tayari kwa ngoma yangu mpya baada ya hiyo ya Hadithi. Sapoti yenu muhimu sana.

Read More......
Tuesday, April 26, 2011 Posted in | | 0 Comments »

Tukiwa tunaelekea kwenye kusheherekea Sikukuu ya Pasaka kesho Jumapili, siyo mbaya tukitakiana 'Easter' njema huku tukikumbuka mateso na kifo cha Yesu Kristo Msalabani. Kupitia hilo wewe Mkristo umejifunza nini? Ebwanadaah iko na wewe kwenye siku hiyo muhimu, inakuomba usheherekee kwa amani huku ukikumbuka kwamba, UKIMWI ni hatari kwa Taifa letu. Salamu zaidi ziwafikie Waifu wangu mtarajiwa (samahanini kwa kutomtaja jina), Mwanangu mpendwa Brian pamoja hawa...


Mimi na Mary G
Mimi na Fella
Mimi na Aneth (Big Level)
Mimi na Best (Big Level)

My Friend Dj Aaron

D- Zonga
Mimi na Robert

Mimi na Linex

Mimi na Nature

Mimi na Kanumba

Mimi na Dj Choka

Mimi na Clarence



Mimi na Malcom



Baby Skyner
Madansa wangu
Mona

Read More......
Saturday, April 23, 2011 Posted in | | 0 Comments »

Q Jay

<!--[if gte mso 9]> Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4
Siku chache baada ya msanii wa muziki wa kizazi kipya, Joseph Mapunda ‘Q Jay’ kutangaza kuokoka na kuachana na muziki wa kidunia ameifanya idadi ya wasanii wa muziki huo waliomrudia mungu kuongezeka.

Kwa mujibu wa uchunguzi uliyofanywa na ebwanadaah, Q Jay anaifanya idadi ya wasanii wa muziki wa kizazi kipya waliyomrudia Mungu wao kufikia zaidi ya watano akiwemo Zedawi aliyekua katika kundi lao, Wakali Kwanza.

Pia wasanii kama Renee Ramila, K-Basil, Spuller na wengine pia waliachana na muziki wa kizazi kipya na kurudi kundini. Kwa upande wa Nuruel aliwahi kutangaza kuachana na muziki wake na kuingia wenye nyimbo za Injili lakini baadaye alitoka huko na kurudi tena kwenye Bongo Flava bila kuweka wazi sababu hasa iliyomrudisha.

Read More......
Wednesday, April 20, 2011 Posted in | | 0 Comments »


Juzikati nilipata bahati ya kukutana na mmoja kati ya 'Mstraika' wa Timu ya Taifa ya wanawake (Twiga Stars) tukabadilishana mawazo kidogo. Kama wewe ni mpenzi wa soka nadhani utakuwa umemsoma. Nice Weekend watu wangu.

Read More......
Saturday, April 2, 2011 Posted in | | 0 Comments »


"Hi Tanzania, naitwa Abelnego Damian a.k.a Belle 9, nawakilisha Moro. Nilipe nisepe iliyofanyika ndani ya studio za Masanjuo Records chini ya producer Mona Gangstar ni ngoma yangu ya kwanza kuachia kutoka ndani ya albamu yangu ya pili yenye jina la Vitamin Music.
Ni ngoma inayotetea haki ya mtu yoyote japokuwa nimeiandika kwenye mazingira ya kumdai mtu pesa. Wengi wakikopeshwa ni wazito kulipa mpaka mfikishane sehemu za sheria, tayari imeanza kufanya vizuri kupitia vituo vya redio na video yake ipo njiani, nimeingona kupitia Kampuni ya Visual Lab chini ya mtayarishaji Adamu Juma. Asanteni"

Read More......
Posted in | | 0 Comments »

Read More......
Friday, April 1, 2011 Posted in | | 0 Comments »


Kutoka ndani ya mradi wa filamu Bongo, msanii Hemed Suleiman ametangaza kuipiga chini game hiyo ishu ikiwa ni kuchoshwa na bifu zinazomuandama kila kukicha kutoka kwa wasanii wenzake ambazo zimekuwa zikimkosesha usingizi.

Akipiga stori na ebwanadaah leo, mchizi aliweka wazi kwamba tangu alipoanza kujihusisha na sanaa ya filamu akitokea kwenye muziki amekuwa hana raha na sanaa hiyo kwakuwa kila mara amekuwa akitupiwa lawama kuwa yeye ndiyo chanzo cha bifu na wasanii wengine.

"Kwa masikitiko makubwa nimeamua kuachana na sanaa ya uigizaji wa filamu ili niwe huru na kuifanya familia yangu hasa mama awe na amani kwasababu kila mara nimekuwa nikionekana mimi mbaya mbele ya wasanii wenzangu na jamii kwa ujumla, kitu ambacho kimekuwa kikininyima raha.

"Najua mashabiki wangu watasikitika kwa uamuzi huo mgumu lakini sina jinsi, nitabaki kuisapoti game hiyo nikiwa pembeni. Nitawaacha na muvi kadhaa ambazo tayari nimeshacheza lakini hazijatoka, pia kuna filamu ya mwisho ambayo natarajia kuicheza hivi karibuni kabla sijakaa pembeni rasmi kwakuwa tayari nimeshaingia mkataba na waandaaji," alisema Hemed.

Mwisho mshikaji alisema kwamba kama kuna mtu alimkosea au kumkwaza ndani na nje ya sanaa hiyo anamuomba radhi ili aondoke akiwa na amani."Baada ya kuachana na filamu nitabaki kwenye fani yangu ya muziki na ishu nyingine".

Read More......
Posted in | | 0 Comments »

H. Baba
Kikosi cha Bongo Flava FC

Baada ya kugonga ziara za kisoka katika baadhi ya mikoa, kikosi cha kandanda cha wasanii wa muzki wa kizazi kipya wanaoishi Dar kinatarajia kushuka katika dimba la CCM Kirumba Mwanza kesho Jumamosi kwa ajili ya mechi moja ya kijanja dhini ya mastaa wa pande hizo (Mwanza All Stars).



Read More......
Posted in | | 0 Comments »