ILI MUZIKI WETU UWEZE KWENDA KIMATAIFA NI LAZIMA TUBADILIKE, SAPOTI YAKO PIA MUHIMU

Read More......
Friday, December 31, 2010 Posted in | | 0 Comments »

Read More......
Posted in | | 0 Comments »

Hapa nikiingiza 'voko' 24/7 Rec
Kisha ikafuata zamu ya Zuhura
Producer wangu Villy akiwa kwenye mashine
Ikafika zamu ya kugonga video, hapa nikiwa na Dir. Malcom akimaliza 'editing'
Hawa ndiyo warembo waliyoipamba video hiyo ya ngoma ya Hadithi

Baada ya kukaa nje ya sanaa ya muziki kwa takribani miaka 8 nimeamua kurudi tena ili kuiongezea nguvu game yetu nikiwa na new idea. Kwa kuanza nimefanikiwa kurekodi ngoma mbili, Historia na Hadithi zote zikiwa zinasikika kupitia vituo kadhaa vya redio, huku moja (Hadithi) ikiwa tayari imefanyiwa video ambayo itaanza kuruka hivi karibuni ikiwa ni zawadi ya mwaka mpya wa 2011. Mbali na kumpa shavu Zuhura katika ngoma hizo pia ndani ya Hadithi nimejaribu kuibua vipaji vya watoto kwa kuwapa nafasi ya kuimba kwenye koras. So wewe kama mdau na mpenzi wa burudani natumai utanipokea kwa mikono miwili. Video itadondoka hapa siku chache zijazo. KWA PAMOJA TUTAUFANYA MUZIKI WETU UVUKE MIPAKA NA KWENDA MBALI ZAIDI.

Read More......
Monday, December 27, 2010 Posted in | | 0 Comments »

Mimi na Nature
Mimi, Dj Choka na mdau
Mimi na Linex

Merry Christmas wadau, marafiki na washikaji wote tunaokutana hapa ebwanadaah. Nawatakiwa sikukuu yenye amani na utulivu, kwa pamoja tutafiki malengo hasa kwa mwaka mpya unaokuja. NAWAPENDA WOTE

Read More......
Friday, December 24, 2010 Posted in | | 0 Comments »


Mimi na mshikaji wangu D Zoga wa Kantri FM (kulia)

Ebwanadaah inatoa pole za kutosha kwa mtangazaji wa kituo cha Redio 'Kantri' cha Iringa, Denis Mlowe a.k.a D Zonga kwa kufiwa na mama yake mzazi wiki hii na mazishi kufanyika huko huko Iringa. Bwana alitoa na Bwana ametwa, jina lake lihimidiwe.

Read More......
Posted in | | 0 Comments »

Gasnizzo msanii chipukizi anayehisi kafanana na Blue kisura na muonekano
Blue orijino


"Hi mkumbwa me niko pao ile mbaya. Salamu hizi zimfikie Mr Blue na Mashalobalo wote

sasa ni muda wa Gasnizzo mtalam wa mapozi kuja kuwashika.Tayari nimeshafanya wimbo unaokwenda kwa jina la 'Sometimes' huku ngoma nyingine yenye jina la 'Dedication' ikiwa jikoni. Ni nyimbo ambazo nazikubali na mashabiki wangu wengi pia wameanza kunielewa."

Read More......
Sunday, December 19, 2010 Posted in | | 0 Comments »


Kama Botswana wameweza kuusapoti muziki wao wa asili na kufanikiwa kuliteka soko karibu ulimwengu mzima, sisi kwanini tunashindwa? Hebu jiulize kama kweli wewe ni Mtanzania halisi. Hii ilikuwa juzi pale Landmark Hotel, Dar.

Read More......
Posted in | | 0 Comments »

Kutoka kwa mdau na 'katunisti' wa siku nyingi, Fadhil Mohamed. Graphics zimefanywa na MC George

Read More......
Posted in | | 0 Comments »

Mpiga drum wa Bendi ya African Stars 'Twanga Pepepta', Abuu Semhando 'Baba Diana' amefariki dunia usiku wa kumkia leo baada ya kugongwa na gari akiwa kwenye pikipiki maeneo ya Mbezi Africana, Dar es Salaam alipokuwa akitoka kwenye onesho la bendi yake lililofanyika mitaa hiyo.

Read More......
Friday, December 17, 2010 Posted in | | 0 Comments »

Memba wa kundi lililowahi kufanya vyema katika game ya muziki wa Bongo Flava kwenye miaka ya 2000, BWV lenye maskani yake pande za Mwanza, Hamad Salehe 'Cool D' (aliyechuchumaa pichani juu) amefariki dunia jana na kuzikwa leo kwenye makaburi Kirumba huko huko Rock City.
Akipiga stori na ebwanadaah aliyekua kiongozi wa kundi hilo ambaye hivi sasa ni mtangazaji wa kituo cha Redio Passion FM, Phillibert Kabago alisema kuwa mshikaji alikuwa akisumbuliwa na maradhi kwa muda wa wiki kadhaa mpaka mauti yalipomchukua jana.
Akiwa na kundi hilo, enzi za uhai wake marehemu Cool D na mwezake Kabago walifanikiwa kutoa albamu moja yenye jina la nawashangaa, iliyosimama kwa ngoma kama 'Bosi nipe mshahara wangu', 'Mwanza zirekebishwe barabara' na nyingine.
Blog hii inatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki waliofikwa na msiba huo. Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi. Amina

Read More......
Monday, December 13, 2010 Posted in | | 1 Comments »

Read More......
Sunday, December 12, 2010 Posted in | | 0 Comments »

Read More......
Posted in | | 0 Comments »

Read More......
Posted in | | 0 Comments »

Read More......
Posted in | | 0 Comments »

Read More......
Posted in | | 0 Comments »



Baada ya kusafiri na kupiga shoo kadhaa katika nchi za Dubai na kwingineko, zali limeendelea kumdondokea Berry Black. Siku chache zijazo atashuka nchini Ujerumani na kuangusha shoo kadhaa.

Read More......
Friday, December 10, 2010 Posted in | | 0 Comments »

Baadhi ya wanamuziki wa Akudo
Viongozi wapya wa Akudo, George Kyatika (kulia) na Gabriel Kisanga

Bendi ya muziki wa dansi, Akudo Impact imejiandaa kuukabili mwaka 2011 kwa kuimarisha safu ya uongozi na baadhi ya mabadiliko ambayo yatawafanya kusimama vyema kwa msimu ujao.

Akipiga stori na ebwanadaah juzi, George J. Kyatika ambaye ni afisa uhusiano mpya wa bendi hiyo alisema kwamba AKUDO ni moja ya bendi za muziki wa dansi nchini ambazo zimefanikiwa na kuweka historia ya kipekee katika nyanja ya burudani. Kwa kutambua hilo juhudi binafsi zinafanyika kuhakikisha heshima hiyo haitoweki wala kupungua bali kukuzwa na kuongezeka maradufu.

"Tayari tumejipanga upya kuja na albamu nyingine iliyosheheni nyimbo zitakazosisimua na kuwagusa vilivyo wapenzi na mashabiki wa muziki. Baada ya kusema hayo naomba niitambulishe safu nyingine ya uongozi ambayo ni ndugu Gabriel J. Kisanga ambaye ni Meneja Masoko. Pia nawafahamisha kuwa rapa wetu Canal Top amerudi nyumbani, baada ya kusemwa mengi kuhusu kuhama kwake" alisema George.

Ifuatanyo chini ni ratiba ya shoo za Akudo Impact kwa mwezi huu wa Desemba.

11/12 JUMAMOSI KIGAMBONI

12/12 JUMAPILI MSASANI BEACH

17/12 IJUMAA MANGO GARDEN

18/12 JUMAMOSI FK KIMARA TEMBONI

19/12 JUMAPILI MSASANI

24/12 IJUMAA VIGAE CLASSIC

25/12 JUMAMOSI MSASANI BEACH

26/12 JUMAPILI MSASANI BEACH

29/12 JUMATANO CLUB SUNSIRO

31/12 IJUMAA MANGO GARDEN


Read More......
Posted in | | 0 Comments »

Walter na mkewe, Ade
Kitu cha Ndafu
Bwana harusi akiwalisha wakwe ndafu
Madada na Makaka wa bwana harusi walipopeleka zawadi
Godwin Gondwe 'Double G' aliongeza sherehe nzima
Maharusi wakifungua muziki
Mara wote tukaingia kati
Dada wa Bw. Harusi, Jessica "Sweetie' akichukua picha kwa simu
Shoo iliendelea
Mimi na bibi harusi
Sweetie katika pozi
Mimi (kulia) Bw. Harusi na Clarence

Jana ilikuwa ni siku ya furaha kwa rafiki yangu mpendwa, Walter Rumisha na mkewe, Ade baada ya kufunga ndoa katika Kanisa la Azania Front na kufuatiwa na sherehe ya nguvu iliyofanyika ndani ya Ukumbi wa Lion Hotel, Sinza, Dar es Salaam. Hongereni sana, nawatakia maisha mema ya ndoa.

Read More......
Sunday, December 5, 2010 Posted in | | 0 Comments »

A.Y stejini
A.Y na FA
Fid Q pia aliwakilisha pande hizo
Kutoka pande za Rock City (Mwanza) jana ilipigwa shoo kali kwa ajili ya uzinduzi wa kituo cha Capital Redio cha Dar es Salaam. Fid Q, A.Y, Mwana FA na wasanii wengine kibao walihusika stejini.

Read More......
Posted in | | 0 Comments »