Walter na mkewe, Ade

Kitu cha Ndafu

Bwana harusi akiwalisha wakwe ndafu

Madada na Makaka wa bwana harusi walipopeleka zawadi

Godwin Gondwe 'Double G' aliongeza sherehe nzima

Maharusi wakifungua muziki

Mara wote tukaingia kati

Dada wa Bw. Harusi, Jessica "Sweetie' akichukua picha kwa simu

Shoo iliendelea

Mimi na bibi harusi

Sweetie katika pozi

Mimi (kulia) Bw. Harusi na Clarence
Jana ilikuwa ni siku ya furaha kwa rafiki yangu mpendwa, Walter Rumisha na mkewe, Ade baada ya kufunga ndoa katika Kanisa la Azania Front na kufuatiwa na sherehe ya nguvu iliyofanyika ndani ya Ukumbi wa Lion Hotel, Sinza, Dar es Salaam. Hongereni sana, nawatakia maisha mema ya ndoa.
Sunday, December 5, 2010
Posted in | |
0 Comments »
One Responses to "WALTER, ADE WALIVYOMEREMETA"