ILI MUZIKI WETU UWEZE KWENDA KIMATAIFA NI LAZIMA TUBADILIKE, SAPOTI YAKO PIA MUHIMU

Didas
Didas & Chiller (kushoto)
Didas na mdau
Q Chiller

Kutoka pande za UK huyu hapa ni Didas, mwanadada wa Kibongo ambaye anaendelea kugfanya mambo makubwa nchini humo na Afrika kwa ujumla kupitia kampuni yake yenye jina la Didas Facion inayodili na promotion za fashions pamoja na wasanii wa muziki kutoka Afrika Mashariki.
Akipiga stori na ebwanadaah kwa njia ya simu kutoka Uingereza, Didas alisema kwamba, kampuni yake ambayo pia ina matawi Tanzania na Uganda imewahi kupiga kazi na mastaa wa Kibongo kama Bushoke, Matonya, Q chillah, bendi ya FM Academia na wengine.
"Didas Facion yenye umri wa miaka nane sasa ilianza kazi zake rasmi 2002, wakati huo ikidili zaidi na dawa za kupunguza unene na afya kwa ujumla na ilijulikana kama Didas Health Care. Mwaka 2005 tuliamua kubadilika na kujitupa kwenye ishu za Fashions na Promotions za wasanii kazi ambayo tunaifanya mpaka sasa," alisema Didas.
Mrembo huyo alisema kwamba, mpaka sasa Didas Fashion inamiliki baadhi ya wasanii wa muziki wa Bongo Flava, yaani Q Chiller, The blind sound, na Clipstar. "Siku za nyuma Didas Facion ilikuwa inamiliki wasanii zaidi ya 24 wakiwemo underground ambao baada ya kulipiwa studio na kufanikiwa kurekondi kazi zao wakaingia mitini. Tuliamua kuachana na chipukizi hao na kubaki na hao watatu
wakiongozwa na Q Chillah."
Kazi kubwa inayofanywa na Didas Facion hivi sasa ni kumrudisha Q Chiller kwenye game baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu. Kitakachofuata hivi karibuni ni ziara ndefu za Chiller nchi za nje, kama Europe, America na Africa ya mbali.
Kiukweli Didas ni mwanadada ambaye anastahili kuigwa na wanawake wote duniani kwani anajituma katika kutafuta maisha na anayependa maendeleo ya watu wengine kitu ambacho kinamfanya aendelee kufanikiwa.

Read More......
Tuesday, November 30, 2010 Posted in | | 0 Comments »

"HALOW! MAMBO VIPI! MIMI NI PRODUCER AMBA. JINA LANGU KAMILI NI AMBANGILE MBWANJI. NDIE NLIEFANYA NYIMBO ZA HUSSEIN MACHOZI KAMA FULL SHANGWE, KWAAJILI YAKO, UTAIPENDA, NA ZA MWIZI PIA NIMEFANYA NYIMBO ZINGINE KAMA NAKUPENDA SANA HIP HOP YA ROHO SABA, TO NIGHT YA YAKI, NA SARAHA YA RAMA DEE.


NASHUKURU SANA KWA MSAADA NA SUPPORT MNAYO NIPA KATIKA KUENDELEZA SANAA HII YA MUZIKI. NAUTAMBUA SANA MCHANGO WENU.


KWA SASA NIMEFUNGUA STUDIO YANGU DAR ES SALAAM MAENEO YA TABATA KIMANAGA INAITWA AMBA RECORDS. TAYARI NIMETOA FIRST SINGLE KUTOKA KATIKA STUDIO YANGU MPYA. WIMBO UNAITWA FALLING IN LOVE, MSANII NI K. MASSIVE, HUYU JAMAA NI MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA RUCO (ST. AUGUSTINE - IRINGA) NA NI MKAZI WA MBEYA. PIA KATIKA WIMBO HUU AMENISHIRIKISHA KATIKA KIBWAGIZO (CHORUS).


NAPENDA KUTANGULIZA SHUKURANI ZANGU KWA USHURIKIANO AMBAO MTAZIDI KUONESHA KWA WASANII NA MUSIC PRODUCERS WENGINE KATIKA MUZIKI WETU HUU WA KIZAZI KIPYA.


ASANTENI".

Read More......
Posted in | | 0 Comments »


Kwa niaba ya Backyard Studio naomba nitoe tena fulsa ya pekee kwa Wasanii wote nchini iwe vikundi au mmoja mmoja kurecord nyimbo BURE kuanzia tarehe 30/11/2010 hadi tarehe 09/12/2010. Nyimbo hizo ziwe mahususi kwa ajili ya kusaidia, kuhamasisha jamii na kuelimisha kuhusu janga la Ukimwi linalo tukabili.


Dhumuni la Backyard kwa sasa ni kusaidia Jamii katika Majanga yote ya kitaifa kwa kupitia Sanaa. Tunaamini Ukimwi ni moja ya Janga kubwa sana linalo pelekea Serekali na Jamii kutumia pesa nyingi, muda na maarifa katika kutaka kuokoa maisha ya ndugu na jamaa zetu sambamba na kutokomeza gonjwa hili. Wasanii ni watu muhimu sana na naamini wakiamua kupiga kampeni hii ujumbe utafika na yote haya yana wezekana.


Naomba nyimbo ziwe za kweli zenye uwezo wa kukaa kwa muda mrefu zaidi na ambazo zitavutia jamii kusikiliza na ujumbe kuwafikia pale walipo ndani ya kipindi chote si wakati wa maadhimisho haya tu.


Tuwasiliane ili tupeane utaratibu wa kufuata japo hakuna mashari. Ahsante


Braton (Backyard Records)

S.L .P 14663 D'Salaam

Tanzania

+255 713 888 779.


Read More......
Posted in | | 0 Comments »


Hello ma fans, mambo vipi? Niko pande za Mwanza namalizia muvi yangu ya pili, yenye jina la Trafic Pori, natarajia kurudi Dar Jumamosi hii baada ya kazi nzito ya kurekodi"

Read More......
Friday, November 26, 2010 Posted in | | 0 Comments »

Read More......
Posted in | | 0 Comments »

NA.


OFISI/WIZARA


WAZIRI



NAIBU WAZIRI


1.


Ofisi ya Rais





1. WN – OR – Utawala Bora

Mathias Chikawe


2. WN – OR – Mahusiano na Uratibu

Stephen Wassira




2.


Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma





Hawa Ghasia



3.


Ofisi ya Makamu wa Rais




1. Muungano

Samia Suluhu


2. Mazingira

Dr. Terezya Luoga Hovisa




4.


Ofisi ya Waziri Mkuu




1. Sera, Uratibu na Bunge

William Lukuvi


2. Uwekezaji na Uwezeshaji

Dr. Mary Nagu




5.


Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)




George Huruma Mkuchika


1.Aggrey Mwanri




2. Kassim Majaliwa



6.


Wizara ya Fedha




Mustapha Mkulo


1. Gregory Teu



2. Pereira Ame Silima


7.


Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi




Shamsi Vuai Nahodha


1. Balozi Khamis Suedi Kagasheki


8.


Wizara ya Katiba na Sheria




Celina Kombani






9.


Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa





Bernard K. Membe


1. Mahadhi Juma Mahadhi


10.


Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa




Dr. Hussein Ali Hassan Mwinyi



11.


Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi





Dr. Mathayo David Mathayo


1. Benedict Ole Nangoro


12.


Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia




Prof. Makame Mnyaa Mbarawa


1. Charles Kitwanga


13.


Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi




Prof. Anna Tibaijuka


Goodluck Ole Madeye


14.


Wizara ya Maliasili na Utalii






Ezekiel Maige



15.


Wizara ya Nishati na Madini






William Mganga Ngeleja


1. Adam Kigoma Malima


16.


Wizara ya Ujenzi






Dr. John Pombe Magufuli


1. Dr. Harrison Mwakyembe





17.


Wizara ya Uchukuzi






Omari Nundu


1. Athumani Mfutakamba


18.


Wizara ya Viwanda na Biashara






Dr. Cyril Chami


Lazaro Nyalandu


19.


Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi





Dr. Shukuru Kawambwa


1. Philipo Mulugo


20.


Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii






Dr. Haji Hussein Mpanda


1. Dr. Lucy Nkya


21.


Wizara ya Kazi na Ajira






Gaudensia Kabaka


Makongoro Mahanga


22.


Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto





Sophia Simba


Umi Ali Mwalimu


23.


Wizara ya Habari, Vijana na Michezo






Emmanuel John Nchimbi


1. Dr. Fenella Mukangara


24.


Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki




Samuel John Sitta







1. Dr. Abdallah Juma Abdallah


25.


Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika






Prof. Jumanne Maghembe


1. Christopher Chiza


26.


Wizara ya Maji






Prof. Mark James Mwandosya


Eng. Gerson Lwinge

Read More......
Wednesday, November 24, 2010 Posted in | | 0 Comments »