ILI MUZIKI WETU UWEZE KWENDA KIMATAIFA NI LAZIMA TUBADILIKE, SAPOTI YAKO PIA MUHIMU

Bi. Kidude
Mkongwe za muziki wa taarabu pande za Zenji, Kidude Binti Mbaraka a.k.a Bi. Kidude leo amekanusha vikali uvumi ulionea kwamba amefariki dunia.
Akikanusha kwa mbwembwe zote, Bi. Kidude alisema kwamba yeye bado yuko hai na nguvu za kutosha, isipokuwa alikuwa akisumbuliwa na homa ya kawaida na kulazimika kutundikiwa dripu ya maji, lakini sasa afya yake imetengemaa.
Kutoka Ebwanadaah: Jamani Wabongo wenzangu, haya mambo ya kusambaza taarifa ambazo hatuna uhakika nazo siyo fresh, ipo siku itatukosti. Zaidi tuendelee kumuombea bibi yetu azidi kuwa na afya njema.

Read More......
Wednesday, October 26, 2011 Posted in | | 1 Comments »


Mambo vipi?

Jackson Makini aka CMB PREZZO kutoka nchini Kenya amedondosha kazi mpya 4 SHO 4 SHIZZY aliyomshirikisha Producer wa ngoma hiyo ULOPA kutoka katika studio ya SAMAWATI ya Jijini Nairobi Kenya,Video ya kazi hii ameshoot na kampuni ya BOOMBA Video inatarajiwa kutoka baada ya wiki mbili katika vituo vyote vya Tv Africa nzima:

Pamoja sana

Ambwene Yessayah (AY)


Read More......
Tuesday, October 25, 2011 Posted in | | 0 Comments »

Enzi za uhai wake
Baada ya kuuawa

Taarifa zilizoifikia Ebwanadaah hivi punde kutoka kunako televsheni za kimataifa zinasema kwamba aliyekuwa Rais wa Libya, Muhamar Gadaffi ameuawa na majeshi ya waasi kama inavyoonekana pichani. Mengi zaidi kuhusu kifo chake endelea kucheki na blog hii.

Read More......
Thursday, October 20, 2011 Posted in | | 0 Comments »

Hii ni moja kati ya shoo zao huko Botwana
Mmoja wa waimbaji na dansa wa kundi hilo
Dikakapa waliposhuka Airport Juzi alfajiri

Kundi lingine maarufu la muziki wa asili kutoka Botswana, Dikakapa limedondoka Bongo juzi alfajiri kwa ajili ya shoo za kutosha, huku likitamba kuwa litafanya maajabu na ikiwezekana kuwapoteza Makhirikhiri waliowahi kuja TZ na kupiga shoo zaidi ya miezi kadhaa.

Read More......
Wednesday, October 12, 2011 Posted in | | 0 Comments »