Kinyang'anyiro cha kumsaka mrembo wa Kilimanjaro 2010 kiko njia moja, zaidi wa warembo tisa (pichani) wanatarajiwa kupanda stejini Juni 11, mwaka huu kwa ajili ya kumtafuta mshindi atakayeuwakilisha mkoa huo kwenye fainali za Miss Tanzania. Ili kujua wapi na lini mpambano huu utafanyika endelea kufuatilia blog hii ya kijanja.
TEMBELEA DUKA LA KIJANJA, MC VIDEO CLASSIC LILILOPO KIBAMBA (NJIAPANDA YA SHULE), DAR ES SALAAM UJIPATIE MOVIE ZA KIBONGO, COLLECTIONS MOVIES, CD ZA MUZIKI WA GOSPEL, BONGO FLAVA, VIFAA VYA SIMU, UREMBO N.K. KARIBU SANA
UNAJUA KUDANSI?
JE, WEWE NI MKALI WA KUPIGA SHOO NA HAUJUI UTAFANYA NINI?. NJOO UJIUNGE NA BADUGU DANCES. CHEKI NA SISI 0715 110 173, 0787 110 173 , 0717-340387. TIMIZA NDOTO ZAKO.
One Responses to "WAREMBO KILIMANJARO WAKO FULL, KAA TAYARI"