Katika kusheheresha tuzo za MTV Afika zinazotarajiwa kutolewa mwezi ujao pande za Kenya, mchizi anayefanya vyema na ngoma kadhaa hivi sasa, Dapo Daniel Oyebanjo a.k.a DÕBanj kutoka Nigeria anatarajiwa kudondoka Bongo hivi karibuni kama mgeni mwalikwa kunako shoo yenye jina la Road to MTV Africa Music Awards (MAMA) itakayopigwa ndani ya Ukumbi wa Bilicanas Oktoba 3, mwaka huu.
Kwa mujibu wa mratibu wa ishu hiyo, Christina Mosha 'Seven' shoo hiyo ambayo hufanyika kila mwaka na sehemu tofauti yakiwa ni maandalizi ya kuelekea kunako tuzo hizo safari hii itafanyika Bongo ambapo mbali na mkali huyo kutoka Nigeria pia wasanii wa Tanzania waliotajwa kuwania 'awadi' hizo Ambwene Yesaya 'A.Y' na Sara Kaisi 'Shaa' wataangusha burudani ya ukweli.
"Pia msanii kama Profesa Jay ambaye atakuwa ni mgeni mwalikwa katika tuzo hizo tutakuwa naye katika shoo hiyo ya Bilicanas ambayo itaanza saa tatu usiku na kuendelea kwa kiingilio cha shilingi 15, 000 kila mtu. Kwa ishu zaidi watu wanaweza kutembelea website yetu ambayo ni www.mama.mtvbase.com," alisema Seven.
Pia mratibu huyo amewaomba Watanzania na wapenzi wa burudani kwa ujumla wanaombwa kuendelea kuwapigia kura A.Y na Shaa ili waweze kuleta heshima Bongo kwa kuibuka na tuzo hizo. 'Kumpigia kura A.Y andika neno BHH AY kisha unatuma kwenda namba 0789 777 333. Ili kumuwezesha Shaa ambaye anawania tuzo ya Msanii Bora Anayechipukia andika neno BNA SHAA kisha tuma kwenda namba 0789 777 333.
About Me
MC Logo
PHOTOS
SHOW BIZ HITZ
BONGO HITZ
OLD SCHOOL FLAVA
Powered by Blogger.
Blog Archive
-
▼
2009
(77)
-
▼
September
(19)
- MDAU NA BONGE LA T-SHIRT
- KAMATA T-SHIRT ZA KIJANJA
- MKUBWA FELLA, AFANDE ULINGONI!
- SCOUT O, K-MAN NA NGOMA MPYA
- DJ CHOKA ALA SHAVU ZIZZOU ENTERTAINMENT
- A.Y NDANI YA MALAYSIA
- D'BANJ KUDONDOKA BONGO
- TMK WALIVYOPOTEZA COCO BEACH EID PILI
- FUTURU YA MWISHO KABLA YA EID
- CHIGUNDA ANASUBIRI WAIFU
- KAMATA NDINGA MWANANGU
- KAZI NA DAWA JAMANI
- WAPE SHAVU A.Y, SHAA TUZO ZA MTV
- KIFO CHA MPAKANJIA BADO NI SIMANZI
- QUEEN DOREEN BACK AGAIN
- KIBOOT NA SALAAM KUTOKA SAUZI
- MKUBWA FELLA NA NGOMA MPYA
- APEX RECORDS YAANZA NA MCHAJI
- CHEKI MAISHA YA RAIS WA MANZESE
-
▼
September
(19)
G5 WORLD
ILI MUZIKI WETU UWEZE KWENDA KIMATAIFA NI LAZIMA TUBADILIKE, SAPOTI YAKO PIA MUHIMU
Wednesday, September 23, 2009
Posted in | |
0 Comments »
KARIBU SANA
JE, WEWE NI MJANJA?
TEMBELEA DUKA LA KIJANJA, MC VIDEO CLASSIC LILILOPO KIBAMBA (NJIAPANDA YA SHULE), DAR ES SALAAM UJIPATIE MOVIE ZA KIBONGO, COLLECTIONS MOVIES, CD ZA MUZIKI WA GOSPEL, BONGO FLAVA, VIFAA VYA SIMU, UREMBO N.K. KARIBU SANA
UNAJUA KUDANSI?
JE, WEWE NI MKALI WA KUPIGA SHOO NA HAUJUI UTAFANYA NINI?. NJOO UJIUNGE NA BADUGU DANCES. CHEKI NA SISI 0715 110 173, 0787 110 173 , 0717-340387. TIMIZA NDOTO ZAKO.
SHOUT OUT !!
Followers
My Blog List
-
-
-
-
SIMBA SC. YAWEKA SOKONI MAJI YAKE!9 years ago
-
-
HARD PRICE COMING SOON11 years ago
-
-
-
Aslay Akifanya Vitu vyake14 years ago
-
-
-
-

One Responses to "D'BANJ KUDONDOKA BONGO"