
Kupitia safu ya 'Mwana mpotevu' inayopatikana pia ndani ya gazeti la Ijumaa ShowBiz tutakuwa tukiwatafuta mastaa wa kitambo ambao waliwahi kufanya vyema kupitia sanaa zao kisha wakapotea. Kubwa zaidi litakuwa ni kwanini wapo kimya na huko waliko kwa wakati huo wanapiga ishu gani.
Kwa kuanza leo tunadondoka na binti aliyeingia kwenye game ya muziki wa kizazi kipya akiwa na umri mdogo na kufanya kazi kadhaa kisha kupotea, namzunguzia Doreen Mkude a.k.a Queen Doreen.
Alikuja kwa kasi na kushaini katika anga ya Bongo Flava kwa michano lakini ghafla ikawa jiiiii! Alipokutana na ShowBiz katikati ya wiki hii kabla ya yote alitamka kwamba sasa anarudi kamili kuwashika fans wote wa muziki.
Queen Doreen ambaye alikuwa memba active wa Kundi la Dar Scandal lililokuwa likiongozwa na Godfrey Tumaini 'Dudubaya', ameweka kweupe some issues zilizomfanya awe out of game kwa muda.
Mdada huyo alisema kuwa sababu namba moja iliyomfanya awe nje ya game ni masomo na kueleza kwamba aliona muziki Bongo si uwanja sahihi wa kuutegemea kufanya maisha ndiyo maana aliichenga Bongo Flava na kutimkia skonga.
Hata hivyo, Queen Doreen alisema kuwa kitu kingine kilichomkimbiza ni rushwa ya ngono kwa maelezo kuwa wadau wengi walikuwa wanabana kumsaidia mpaka pale atakaporidhia kuchekiwa on bed.
Mbali na hilo, aliimegea kona hii exclusive kwamba yupo anajiandaa na ujio mpya kwamba albamu yake ipo njia moja. Ni hayo tu kuhusu Doreen kwa leo. Cheki na sisi next week.
About Me
MC Logo
PHOTOS
SHOW BIZ HITZ
BONGO HITZ
OLD SCHOOL FLAVA
Powered by Blogger.
Blog Archive
-
▼
2009
(77)
-
▼
September
(19)
- MDAU NA BONGE LA T-SHIRT
- KAMATA T-SHIRT ZA KIJANJA
- MKUBWA FELLA, AFANDE ULINGONI!
- SCOUT O, K-MAN NA NGOMA MPYA
- DJ CHOKA ALA SHAVU ZIZZOU ENTERTAINMENT
- A.Y NDANI YA MALAYSIA
- D'BANJ KUDONDOKA BONGO
- TMK WALIVYOPOTEZA COCO BEACH EID PILI
- FUTURU YA MWISHO KABLA YA EID
- CHIGUNDA ANASUBIRI WAIFU
- KAMATA NDINGA MWANANGU
- KAZI NA DAWA JAMANI
- WAPE SHAVU A.Y, SHAA TUZO ZA MTV
- KIFO CHA MPAKANJIA BADO NI SIMANZI
- QUEEN DOREEN BACK AGAIN
- KIBOOT NA SALAAM KUTOKA SAUZI
- MKUBWA FELLA NA NGOMA MPYA
- APEX RECORDS YAANZA NA MCHAJI
- CHEKI MAISHA YA RAIS WA MANZESE
-
▼
September
(19)
G5 WORLD
ILI MUZIKI WETU UWEZE KWENDA KIMATAIFA NI LAZIMA TUBADILIKE, SAPOTI YAKO PIA MUHIMU
Friday, September 11, 2009
Posted in | |
0 Comments »
KARIBU SANA
JE, WEWE NI MJANJA?
TEMBELEA DUKA LA KIJANJA, MC VIDEO CLASSIC LILILOPO KIBAMBA (NJIAPANDA YA SHULE), DAR ES SALAAM UJIPATIE MOVIE ZA KIBONGO, COLLECTIONS MOVIES, CD ZA MUZIKI WA GOSPEL, BONGO FLAVA, VIFAA VYA SIMU, UREMBO N.K. KARIBU SANA
UNAJUA KUDANSI?
JE, WEWE NI MKALI WA KUPIGA SHOO NA HAUJUI UTAFANYA NINI?. NJOO UJIUNGE NA BADUGU DANCES. CHEKI NA SISI 0715 110 173, 0787 110 173 , 0717-340387. TIMIZA NDOTO ZAKO.
SHOUT OUT !!
Followers
My Blog List
-
-
-
-
SIMBA SC. YAWEKA SOKONI MAJI YAKE!9 years ago
-
-
HARD PRICE COMING SOON11 years ago
-
-
-
Aslay Akifanya Vitu vyake14 years ago
-
-
-
-

One Responses to "QUEEN DOREEN BACK AGAIN"