Huwezi amini, lakini ukweli ni kwamba mwana Bongo Flava, Ramadhani Kasembe a.k.a Dullayo Ijumaa ya wiki iliyopita alinusurika kifo baada ya kuchomwa kisu na watu wasiyojulikana kabla ya kudondoka pande za Amana Hospitali na kushonwa nyuzi kumi mkononi.
"Nilikuwa natoka kwenye Klabu moja iliyopo pande za Uwanja wa ndege majira ya saa 10 alfajiri, nikachukua taksi ini-rush home, kabla gari haijaondoka mara washikaji wawili na demu moja wakavamia ndani ya taksi hiyo na kumuamuru dereva awapeleke wanapotaka wao kitu ambacho mimi nilikipinga, baada ya kubishana kwa muda mmoja alishuka akaja upande wangu na kuanza kunipiga na kisu mfululizo, nilikwepa lakini baadae nikaamua kukimamata ndipo alipofanikiwa kunikata mkononi mara mbili," alisema Dullayo alipopiga stori na ebwanadaah!
Mchizi amesema kwamba baada ya kukatwa na kisu ilibidi ashuke kwenye gari hiyo kitendo kilichowapa nafasi watuhumiwa, wakamtishia dereva kwa kisu hicho ikabidi aondoe gari kwa kasi na kutokomea kusikojulikana. Baada ya hapo msanii huyo alitafuta usafiri mwingine mpaka katika Hospitali ya Amana ambapo alishonwa nyuzi kumi na kuruhusiwa kurudi home. "Mpaka sasa kesi ipo katika kituo cha polisi Sitakishari, Ukonga, Dar es Salaam tunaendelea kuwasaka watuhumiwa," alisema.
ebwanadaah! inatoa pole nyingi kwa Dullayo na kumtakia afya njema, kwani yote hayo yatapita na mchizi atarudi na kuendelea kuipandisha juu game ya muziki wa kizazi kipya.
About Me
MC Logo
PHOTOS
SHOW BIZ HITZ
BONGO HITZ
OLD SCHOOL FLAVA
Powered by Blogger.
Blog Archive
-
▼
2009
(77)
-
▼
November
(13)
- IRINGA MKO TAYARI KWA MTIKISIKO?
- MIAKA 4 YA MPAKA HOME, FULL FURAHA
- KANUMBA ALIPOIBUKIA PANDE ZANGU
- JAYMAH AIWAKILISHA BONGO MALYSIA
- MBISHI NI TOZI WA MBAGALA?
- MUNGU MKUBWA, JITTA KITAANI TENA
- EBWANA DAAH! DULLAYO APIGWA KISU!
- TEMBA APATA MSIBA
- TMK & TIP TOP WAFUNIKA TENA KIGAMBONI
- SISTA DOI, ELIZA FULL HAPPY
- HUYU NDIYE R.O.M.A HALISI WA MR. PRESIDENT
- MADEE: SIKO NA PENDO JAMANI
- TMK, TIP TOP WAMALIZA KAZI BUKOBA
-
▼
November
(13)
G5 WORLD
ILI MUZIKI WETU UWEZE KWENDA KIMATAIFA NI LAZIMA TUBADILIKE, SAPOTI YAKO PIA MUHIMU
Tuesday, November 17, 2009
Posted in | |
0 Comments »
KARIBU SANA
JE, WEWE NI MJANJA?
TEMBELEA DUKA LA KIJANJA, MC VIDEO CLASSIC LILILOPO KIBAMBA (NJIAPANDA YA SHULE), DAR ES SALAAM UJIPATIE MOVIE ZA KIBONGO, COLLECTIONS MOVIES, CD ZA MUZIKI WA GOSPEL, BONGO FLAVA, VIFAA VYA SIMU, UREMBO N.K. KARIBU SANA
UNAJUA KUDANSI?
JE, WEWE NI MKALI WA KUPIGA SHOO NA HAUJUI UTAFANYA NINI?. NJOO UJIUNGE NA BADUGU DANCES. CHEKI NA SISI 0715 110 173, 0787 110 173 , 0717-340387. TIMIZA NDOTO ZAKO.
SHOUT OUT !!
Followers
My Blog List
-
-
-
-
SIMBA SC. YAWEKA SOKONI MAJI YAKE!9 years ago
-
-
HARD PRICE COMING SOON11 years ago
-
-
-
Aslay Akifanya Vitu vyake14 years ago
-
-
-
-

One Responses to "EBWANA DAAH! DULLAYO APIGWA KISU!"