ILI MUZIKI WETU UWEZE KWENDA KIMATAIFA NI LAZIMA TUBADILIKE, SAPOTI YAKO PIA MUHIMU



Mimi na Zuhura pia tutasababisha stejini kama kawa

Aslay atatambulishwa pande hizo kwa mara ya kwanza



Temba a.k.a Tembelee ataliongoza jahazi la TMK Wanaume family


Tembele 'kichwa kinauma'


Stiko 'Kichwa kinauma'


Bi Cheka 'Kichwa kinauma'



Mkubwa Fella na Wanawe wakiwa mazoezini kujiandaa na shoo hiyo

NI SHOO INAYOSUBIRIWA KWA HAMU KUBWA NA MASHABIKI WA PANDE ZA MBEZI LUIS NA VITONGOJI VYA JIRANI. MPANGO MZIMA NI MACHI 3, MWAKA HUU NDANI YA UKUMBI WA TIME SQUARE.













Tuesday, February 21, 2012 Posted in | | 0 Comments »

One Responses to "ZIMEBAKI SIKU 10 MBEZI IWAKE MOTO"

Write a comment