Kila tulipokutana alinipa moyo katika sanaa yangu ya muziki
Nimeamini kizuri hakidumu
Nguzo ya tasnia ya muvi Bongo imeondoka ghafla na kuacha simanzi kwa maelfu ya Watanzania na mashabiki wake walio nje ya nchi. Tangulia Kanumba, kwani hiyo ni safari yetu sote japo hatujui nani ataziba pengo lako. Sisi tuliyobaki tunajukumu kubwa la kuhakikisha tunaendeleza pale ulipoishia. Pole nyingi zitue kwa familia ya marehemu na wote wenye simanzi kama mimi. Tangulia The Great, tuko nyuma yako.
Maswahiba wawili kunako game ya muziki wa kizazi kipa, Selemani Msindi 'Afande Sele' na Hamis Shaban Kinzasa "20% au Twenty Pa' leo wameburuzwa kwa pilato huko mjini Morogoro wakidaiwa kuvamia sehemu na kusababisha vurugu. Kwa mujibu wa mdau mmoja wa ebwanadaah aliyeko pande hizo, Afande na 'shosti' wake huyo walidakwa na polisi jana na kutupwa selo kabla hawajafikishwa mbele ya pilato leo, ambapo kesi hiyo imepigwa kalenda mpaka itakaposomwa tena siku kadhaa zijazo. Zaidi kuhusu ishu hiyo endelea kuchungulia ebwanadaah.
Read More......
Wednesday, April 4, 2012
Posted in | |
0 Comments »
TEMBELEA DUKA LA KIJANJA, MC VIDEO CLASSIC LILILOPO KIBAMBA (NJIAPANDA YA SHULE), DAR ES SALAAM UJIPATIE MOVIE ZA KIBONGO, COLLECTIONS MOVIES, CD ZA MUZIKI WA GOSPEL, BONGO FLAVA, VIFAA VYA SIMU, UREMBO N.K. KARIBU SANA
UNAJUA KUDANSI?
JE, WEWE NI MKALI WA KUPIGA SHOO NA HAUJUI UTAFANYA NINI?. NJOO UJIUNGE NA BADUGU DANCES. CHEKI NA SISI 0715 110 173, 0787 110 173 , 0717-340387. TIMIZA NDOTO ZAKO.