ILI MUZIKI WETU UWEZE KWENDA KIMATAIFA NI LAZIMA TUBADILIKE, SAPOTI YAKO PIA MUHIMU

Kila tulipokutana alinipa moyo katika sanaa yangu ya muziki
Nimeamini kizuri hakidumu
Nguzo ya tasnia ya muvi Bongo imeondoka ghafla na kuacha simanzi kwa maelfu ya Watanzania na mashabiki wake walio nje ya nchi. Tangulia Kanumba, kwani hiyo ni safari yetu sote japo hatujui nani ataziba pengo lako. Sisi tuliyobaki tunajukumu kubwa la kuhakikisha tunaendeleza pale ulipoishia. Pole nyingi zitue kwa familia ya marehemu na wote wenye simanzi kama mimi. Tangulia The Great, tuko nyuma yako.

Sunday, April 8, 2012 Posted in | | 0 Comments »

One Responses to "R.I.P THE GREAT STEVEN KANUMBA"

Write a comment