Kiba akiwekwa fresh salon kabla ya kuanza kazi

2Face, Kiba na JK

2Face, Ali Kiba wakijiandaa kuingiza voko

Hapa wote wako tayari

Kazi ikaanza
'Ze vokolisti' waukweli kutoka Bongo, Ali Kiba tayari yupo kwa Obama akikamilisha mpango mzima wa kurekodi akishirikiana na baadhi ya mastaa wa muziki kutoka Afrika.
Ishu kutoka pande hizo zilizodondoka ndani ya ebwanadaah jana zinasema kwamba, tayari Kiba na wasanii kama 2Face wa Nigeria, Fally Ipupa (Congo) Amani (Kenya) na wengine weameshaingiza voko kunako studio moja iliyopo Chicago na siku chache zijazo mzigo utakuwa tayari.
Friday, October 29, 2010
Posted in | |
0 Comments »
One Responses to "ALI KIBA MZIGONI CHICAGO, MAREKANI"