Kutoka kiwanja leo tunashuka na uhusiano 10 wa kimapenzi wa mastaa mbalimbali ambao ndani ya mwaka huu ulisambaratika kutokana na kuhitilafiana kwasababu kadhaa japokuwa kuna baadhi yao inasemekana wamerudiana hivi karibuni.
50 CENT na Ciara
Mwana Hip Hop, 50 Cent wa Marekani aliripotiwa kuachana na aliyekuwa mchumba wake, Ciara Harrison. Rafiki wa karibu na Ciara aliueleza mtandao mmoja kuwa, mwanadada huyo aliachia uamuzi huo baada ya kugundua kwamba 50 Cent alikuwa hajatulia.
Usher na Tameka
Usher Raymond na Tameka Foster ambao walifunga ndoa ya nguvu na kufanikiwa kupata watoto wawili, siku kadhaa zilizopita waliripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari kuachana, kabla ya wao kuweka wazi hadharani.
Licha ya uhusiano huo kuvunjika tangu mwaka jana, Tameka anayeishi Las Vegas hivi karibuni aliiambia Mahakama ya Fulton kuwa, bado anautambua uhusiano wao uliyofikia tamati Juni 6 mwaka huu.
Jon na Kate Gosselin
Muigizaji Kate Gosselin amesema kuwa, alitengana na mumewe tangu miaka miwili iliyopita.
Msanii huyo ambaye ndoa yao ilidumu kwa miaka 10, alikubali kuishi katika maisha ya upweke.
Paris Hilton & Doug Reinhardt Split
Mwanamitindo, Paris Hilton naye amekuwa ni miongoni mwa mastaa waliyokutana na dhahama hiyo mara kibao kwani hivi karibuni alipigana chini na mpenzi wake, Doug Reinhardt.
Kanye West na Amber Rose.
Mwana Hip Hop, Kanye West mara kadhaa naye amekuwa akiripotiwa kuachana na kipenzi chake, Amber Rose.
CAmeron Diaz na Paul Sculfor
Mastaa wengine waliyotajwa kutosana mwaka huu ni Cameron Diaz na Paul Sculfor, ambapo jarida la Uingereza, Grazia limenukuu chanzo kimoja cha wawili hao kumwagana kuwa ni mawasiliano hafifu waliyokuwa nayo.
Jermaine Dupri
Baada ya kudumu kwa muda wa miaka saba, hivi karibuni Janet Jackson na mpenzi wake, Jermaine Dupri wameripotiwa kuachana.
Mastaa wengine ni Britney Spears aliyeachana na Jason Trawick, Joe Jonas naye ameripotiwa kuachana na Camilla Belle. Kwa upande mwingine mwanamuziki Jessica Simpson na Tony Romo uhusiano wao umefikia tamati mapema mwezi huu ikiwa ni siku chache baada ya aliyekuwa mume wake, Jessca, Nick Lachey kuachana pia na mchumba wake, Vanessa Minnillo.
About Me
MC Logo
PHOTOS
SHOW BIZ HITZ
BONGO HITZ
OLD SCHOOL FLAVA
Powered by Blogger.
Blog Archive
-
▼
2009
(77)
-
▼
August
(27)
- NEY WA MITEGO MTEGONI
- TEMBA AGAIN, KUCHOMOKA NA ENIKA
- MADEE, BABU TALE NA ISHU MPYA KWA WALIYOJITOA TIP TOP
- KUTANA NA MAISHA YA CHEGGE CHIGUNDA
- MASTAA 10 WALIYOPIGANA CHINI 2009
- DOGO HII KITU INAPANDA?
- NIKO MTU 3 NDANI YA TRAKI MOJA
- ZE BIG TOLU HASHEEM AKIJIFUA
- WAREMBO WA KISWAHILI WALIPONITAIT KWA MASWALI
- EXCLUSIVE: TUNDA, SPARK WAPIGANA BIT
- PANDE ZA MOMBASA PIA ILIKUWA SHANGWE
- KINGWENDU APIGWA EM NA NUSU
- Ijumaa SHOWBIZ IKO MTAANI TENA, CHEKI MAUJANJA
- CHEKI MAISHA YA TUNDAMAN WA TIP TOP
- ABBY COOL & MC GEORGE OVER THE W'KEND
- iJUMAA SHOWBIZ
- IJUMAA SEXIEST BARCHELOR HAWA HAPA
- TMK, TIP TOP WALIVYOFUNIKA MORO, DOM
- MPAKA HOME KWA BABY MADAHA
- HUU NDIYO MKOKO WA TUNDAMAN
- MPAKA HOME IKO FULL
- NATURE VIPI?
- WAPE SHAVU BLACK RHINO, MWANA FA
- ABBY COOL & MC GEORGE OVER THE W/KEND
- TMK, TIP TOP WAFUNIKA TENA
- SOLO ALIKUWA TAITI NA MITIHANI -JAFARAI
- riday, August 7, 2009 MKUBWA NA WANAWE KITAANI ...
-
▼
August
(27)
G5 WORLD
ILI MUZIKI WETU UWEZE KWENDA KIMATAIFA NI LAZIMA TUBADILIKE, SAPOTI YAKO PIA MUHIMU
Friday, August 28, 2009
Posted in | |
0 Comments »
KARIBU SANA
JE, WEWE NI MJANJA?
TEMBELEA DUKA LA KIJANJA, MC VIDEO CLASSIC LILILOPO KIBAMBA (NJIAPANDA YA SHULE), DAR ES SALAAM UJIPATIE MOVIE ZA KIBONGO, COLLECTIONS MOVIES, CD ZA MUZIKI WA GOSPEL, BONGO FLAVA, VIFAA VYA SIMU, UREMBO N.K. KARIBU SANA
UNAJUA KUDANSI?
JE, WEWE NI MKALI WA KUPIGA SHOO NA HAUJUI UTAFANYA NINI?. NJOO UJIUNGE NA BADUGU DANCES. CHEKI NA SISI 0715 110 173, 0787 110 173 , 0717-340387. TIMIZA NDOTO ZAKO.
SHOUT OUT !!
Followers
My Blog List
-
-
-
-
SIMBA SC. YAWEKA SOKONI MAJI YAKE!9 years ago
-
-
HARD PRICE COMING SOON11 years ago
-
-
-
Aslay Akifanya Vitu vyake14 years ago
-
-
-
-

One Responses to "MASTAA 10 WALIYOPIGANA CHINI 2009"