
"Hivi sasa sina mpenzi, bado nipo nipo sana"
Hii hapa ni Mpaka Home nyingine ya ukweli ambayo itakudondoshea maisha halisi ya msanii Baby Madaha ambaye kimuziki alifahamika kupitia shindano la Bongo Star Search (BSS) 2008, akaendelea kujituma hadi leo hii ambapo ana albamu moja yenye jina la ÔAmoreÕ, akiwa chini ya Kampuni ya Pilipili Entertainment.
Kimaisha binti huyo mrembo kapiga kambi pande za Kinondoni kwa Manyanya, Dar es Salaam akiwa ni mpangaji kunako bonge la nyumba. Ili kujua mengi kuhusu yeye shuka chini ucheki bonge la intavyuu.
Mpaka Home: Inakuwaje Baby, uko mzuka. Ndani ya mjengo huu wa kisasa unaishi na nani?
Madaha: Mimi niko poa. Hapa naishi peke yangu.
Mpaka Home: Ni jitihada zako mwenyewe au kuna mtu anakupa shavu kimtindo?
Madaha: Hakuna mtu yeyote anayenipa shavu zaidi ya Kampuni ya Pilipili ambayo nafanya nayo kazi.
Mpaka Home: Ratiba yako siku zote ikoje?
Madaha: Mara nyingi huwa nawahi sana kuamka, kitu cha kwanza kufanya huwa ni mazoezi ya kukimbia, natoka hapa mpaka beach. Nikirudi naingia bafuni kuoga kisha natafuta kinywaji baridi kama soda au juisi.
Mpaka Home: Kwanini iwe juisi na sio chai?
Madaha: Chai huwa sipendelei kabisa, yaani imenikalia kushoto.
Mpaka Home: Nini unapenda zaidi kufanya unapokuwa nyumbani?
Madaha: Kusikiliza nyimbo zangu na kufanya kazi kwenye kompyuta.
Mpaka Home: Vipi katika mambo ya maakuli, unaingia jikoni au ndio usupa staa?
Madaha: Hata hivi sasa tunapoongea nimebandika nyama jikoni.
Mpaka Home: Unapendelea zaidi kupika msosi gani?
Madaha: Wali, nyama na mbogamboga.
Mpaka Home: Vipi kuhusu kujipodoa, unamaindi?
Madaha: Yaani mimi ndio mama wa mamekapu.
Mpaka Home: Unapendelea mavazi ya aina gani?
Madaha: Napenda shoti pensi, top na jinsi.
Mpaka Home: Nini kiliwahi kukuumiza sana maishani mwako, nini kilichokufurahisha zaidi?
Madaha: Niliumia sana nilipofiwa na baba yangu mzazi, na nilifurahi sana nilipofanikiwa kutoa albamu yangu ya kwanza ya Amore
Mpaka Home: Kitu gani ambacho ni kero kubwa kwako?
Madaha: Majungu ndiyo kero kubwa kwangu.
Mpaka Home: Vipi kuhusu mpenzi, unaye?
Madaha: Hapana, hivi sasa bado nipo nipo sana tu.
Mpaka Home: Nakushukuru sana Baby.
Madaha: Asante sana, karibu tena.
About Me
MC Logo
PHOTOS
SHOW BIZ HITZ
BONGO HITZ
OLD SCHOOL FLAVA
Powered by Blogger.
Blog Archive
-
▼
2009
(77)
-
▼
August
(27)
- NEY WA MITEGO MTEGONI
- TEMBA AGAIN, KUCHOMOKA NA ENIKA
- MADEE, BABU TALE NA ISHU MPYA KWA WALIYOJITOA TIP TOP
- KUTANA NA MAISHA YA CHEGGE CHIGUNDA
- MASTAA 10 WALIYOPIGANA CHINI 2009
- DOGO HII KITU INAPANDA?
- NIKO MTU 3 NDANI YA TRAKI MOJA
- ZE BIG TOLU HASHEEM AKIJIFUA
- WAREMBO WA KISWAHILI WALIPONITAIT KWA MASWALI
- EXCLUSIVE: TUNDA, SPARK WAPIGANA BIT
- PANDE ZA MOMBASA PIA ILIKUWA SHANGWE
- KINGWENDU APIGWA EM NA NUSU
- Ijumaa SHOWBIZ IKO MTAANI TENA, CHEKI MAUJANJA
- CHEKI MAISHA YA TUNDAMAN WA TIP TOP
- ABBY COOL & MC GEORGE OVER THE W'KEND
- iJUMAA SHOWBIZ
- IJUMAA SEXIEST BARCHELOR HAWA HAPA
- TMK, TIP TOP WALIVYOFUNIKA MORO, DOM
- MPAKA HOME KWA BABY MADAHA
- HUU NDIYO MKOKO WA TUNDAMAN
- MPAKA HOME IKO FULL
- NATURE VIPI?
- WAPE SHAVU BLACK RHINO, MWANA FA
- ABBY COOL & MC GEORGE OVER THE W/KEND
- TMK, TIP TOP WAFUNIKA TENA
- SOLO ALIKUWA TAITI NA MITIHANI -JAFARAI
- riday, August 7, 2009 MKUBWA NA WANAWE KITAANI ...
-
▼
August
(27)
G5 WORLD
ILI MUZIKI WETU UWEZE KWENDA KIMATAIFA NI LAZIMA TUBADILIKE, SAPOTI YAKO PIA MUHIMU
Tuesday, August 11, 2009
Posted in | |
0 Comments »
KARIBU SANA
JE, WEWE NI MJANJA?
TEMBELEA DUKA LA KIJANJA, MC VIDEO CLASSIC LILILOPO KIBAMBA (NJIAPANDA YA SHULE), DAR ES SALAAM UJIPATIE MOVIE ZA KIBONGO, COLLECTIONS MOVIES, CD ZA MUZIKI WA GOSPEL, BONGO FLAVA, VIFAA VYA SIMU, UREMBO N.K. KARIBU SANA
UNAJUA KUDANSI?
JE, WEWE NI MKALI WA KUPIGA SHOO NA HAUJUI UTAFANYA NINI?. NJOO UJIUNGE NA BADUGU DANCES. CHEKI NA SISI 0715 110 173, 0787 110 173 , 0717-340387. TIMIZA NDOTO ZAKO.
SHOUT OUT !!
Followers
My Blog List
-
-
-
-
SIMBA SC. YAWEKA SOKONI MAJI YAKE!9 years ago
-
-
HARD PRICE COMING SOON11 years ago
-
-
-
Aslay Akifanya Vitu vyake14 years ago
-
-
-
-

One Responses to "MPAKA HOME KWA BABY MADAHA"