riday, August 7, 2009
MKUBWA NA WANAWE KITAANI

K-SHER AVUTA NDINGA MPYAAA


atakuwa adimu kwenye vituo vya madereza tax kama ilivyokuwa zamani na kwenye
daladala ndiyo kabisaaaa!
Iko hivi, binti ambaye ni mwanamuziki bora wa kike
2008-09 kwa mujibu wa Tuzo za Dandu, ametungua ndinga mpya aina ya Toyota Vitz na
akikatiza nalo kitaani utalishuhudia likiwa na rangi nyekundu huku namba zake za
usajili zikisomeka T 771 BBK.
"Nimeipenda sana plate no. yangu, ile BBK ni kirefu
cha Baby Keisha," alisema K-Sher kwa mapozi alipokuwa akipiga stori na blog hii ya kijanja.
Congratulation mama!
HII NI DAR MPAKA MORO, DOM

mikoa ya Rukwa, Mbeya na Iringa, makundi mawili ya muziki wa kizazi kipya, TMK
Wanaume Family na Tip Top Connection yaliyoungana na kupiga kazi pamoja sasa
yanageuzia mashambulizi Morogoro na Dodoma.
Akipiga stori na safu hii memba wa
TMK, Said Juma 'Chege' alisema kuwa mizuka imeshapanda kwa ajili ya kusababisha
Moro ambako zitatambulishwa albamu nne, Mtoto wa Kichaga ya Amani James Temba
ÔMhÕ, Pesa ya Hamad Ally 'Madee', Ripoti Kamili ya Tundaman na Spark bila kuiweka
kando, Mkubwa na Wanawe ya Said Fella 'Mkubwa'.
Chege ambaye amesimama vilivyo
katika wimbo Running Roll ambao amepewa featuring na mwanadada Wahu, alisema kuwa
katika ziara hiyo ambayo wameipa jina la Wanaume Family na Tip Top Kazini Tour,
wakiwa Moro watakamua kwenye Ukumbi wa Bwalo la Umwema na baadaye Uwanja wa
Jamhuri.
"Siku inayofuata tutadondoka Dom ambako nako tutasimamisha mizuka kwenye
Uwanja wa Jamhuri," alisema Chege ambaye katika wimbo huo aliofanya na Wahu,
ameonesha kiwango cha kijanja.
Wanaume Family na Tip Top Connection yaliyoungana na kupiga kazi pamoja sasa
yanageuzia mashambulizi Morogoro na Dodoma.
Akipiga stori na safu hii memba wa
TMK, Said Juma 'Chege' alisema kuwa mizuka imeshapanda kwa ajili ya kusababisha
Moro ambako zitatambulishwa albamu nne, Mtoto wa Kichaga ya Amani James Temba
ÔMhÕ, Pesa ya Hamad Ally 'Madee', Ripoti Kamili ya Tundaman na Spark bila kuiweka
kando, Mkubwa na Wanawe ya Said Fella 'Mkubwa'.
Chege ambaye amesimama vilivyo
katika wimbo Running Roll ambao amepewa featuring na mwanadada Wahu, alisema kuwa
katika ziara hiyo ambayo wameipa jina la Wanaume Family na Tip Top Kazini Tour,
wakiwa Moro watakamua kwenye Ukumbi wa Bwalo la Umwema na baadaye Uwanja wa
Jamhuri.
"Siku inayofuata tutadondoka Dom ambako nako tutasimamisha mizuka kwenye
Uwanja wa Jamhuri," alisema Chege ambaye katika wimbo huo aliofanya na Wahu,
ameonesha kiwango cha kijanja.
Sunday, August 2, 2009
EXCLUSIVE


Almasi na Khadija Shaban 'K-Sher' inasema kwamba, kwa pamoja mabinti hao
wanatarajia kupiga kolabo ya ukweli ili kuwadhihirishia mashabiki wa muziki wa
Bongo Flava kuwa, mademu pia wanapeana mashavu.
"Sitolitaja jina la wimbo hivi sasa, zaidi nawaomba mashabiki wakae tayari
kuipokea kilabo hiyo, ni kazi ya ukweli ambayo haijawahi kutokea hapa Bongo,"
alisema Mwasiti alipokuwa akiangusha stori na blog hii kutopa pande za Arachuga
alipokuwa anampiga tafu K-Sher kwenye utambulisho wa albamu yake aliyoipa jina
lake.
Kazi kwenu wadau wa burudani, kolabo ya ukweli inakuja.
wanatarajia kupiga kolabo ya ukweli ili kuwadhihirishia mashabiki wa muziki wa
Bongo Flava kuwa, mademu pia wanapeana mashavu.
"Sitolitaja jina la wimbo hivi sasa, zaidi nawaomba mashabiki wakae tayari
kuipokea kilabo hiyo, ni kazi ya ukweli ambayo haijawahi kutokea hapa Bongo,"
alisema Mwasiti alipokuwa akiangusha stori na blog hii kutopa pande za Arachuga
alipokuwa anampiga tafu K-Sher kwenye utambulisho wa albamu yake aliyoipa jina
lake.
Kazi kwenu wadau wa burudani, kolabo ya ukweli inakuja.
EBONY FM IKO JUU

Kwa mujibu wa Meneja wa kundi la TMK Wanaume Family, Said Fella, Edo alipiga promo ya kufa mtu na kufanikisha tour hiyo iwe ya ukweli ndani ya mkoa huo. Big sana wadau wa burudani pande hizo na mikoa mingine kwa ujumla kwa kutoa sapoti ya ukweli kwa wasanii wetu, isiwe redio za Dar tu ndiyo zionekane muhimu zaidi katika kuiinua game nzima ya muziki wa Bongo Flava.
Subscribe to: Posts (Atom)
Sunday, August 9, 2009
Posted in | |
0 Comments »
One Responses to " "