Banana Zorro na Baba yake wakisababisha stejini

Hawa ni baadhi ya vijana walijivuta pande hizo kusikiliza hamasa

Mzee Zorro akiwakilisha kitamasha zaidi

Chid Benz on stage

K-Sher na MwanaFA walisema na vijana wenzao

Banana Zorro na mshua wake, Mzee Zahir Ally Zorro waliwakilisha vyema

The Big Boss, Ruge (kushoto) na Sebastian Maganga walikuwepo kuwasapoti vijana
Kituo cha redio Clouds FM kiliandaa mpango wa ukweli kwa ajili ya kuwahamasisha vijana kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura, Oktoba 31, mwaka huu. Katika kutimiza hilo jana lilifanyika bonge la tamasha pale katika viwanja vya Biafra, Kinondoni na hao juu ni baadhi ya wasanii na wadau waliyowakilisha kitamasha.
Monday, October 25, 2010
Posted in | |
0 Comments »
One Responses to "WAKILISHA 2010 ILIYOKUWA BIAFRA JANA"