...akiongea na umati wa waombolezaji waliyopo nyumbani kwa Marehemu Kanumba, Sinza, Vatcan, Dar es Salaam alipokuwa akiondoka eneo hilo jana asubuhi
Monday, April 9, 2012
Posted in | |
0 Comments »
...akiongea na umati wa waombolezaji waliyopo nyumbani kwa Marehemu Kanumba, Sinza, Vatcan, Dar es Salaam alipokuwa akiondoka eneo hilo jana asubuhi
Nguzo ya tasnia ya muvi Bongo imeondoka ghafla na kuacha simanzi kwa maelfu ya Watanzania na mashabiki wake walio nje ya nchi. Tangulia Kanumba, kwani hiyo ni safari yetu sote japo hatujui nani ataziba pengo lako. Sisi tuliyobaki tunajukumu kubwa la kuhakikisha tunaendeleza pale ulipoishia. Pole nyingi zitue kwa familia ya marehemu na wote wenye simanzi kama mimi. Tangulia The Great, tuko nyuma yako.
Maswahiba wawili kunako game ya muziki wa kizazi kipa, Selemani Msindi 'Afande Sele' na Hamis Shaban Kinzasa "20% au Twenty Pa' leo wameburuzwa kwa pilato huko mjini Morogoro wakidaiwa kuvamia sehemu na kusababisha vurugu.
Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi (wa pili kushoto) akipeana mkono na Mkurugenzi wa Clouds Media, Rugemalila Mutahaba leo, Dar esSalaam ikiwa ni ishara ya kupatana na kumaliza tofauti zao zilizodumu kwa muda wa miaka miwili kwasababu za kimuziki, huku wapatanishi wa 'bifu' hilo, Waziri wa Habari Utamkaduni na Michezo, Dk. Emmanuel Nchimbi (kushoto) na Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lisu (kulia) wakishuhudia. (Picha na Anna Nkinda- Maelezo)
Mimi na Zuhura pia tutasababisha stejini kama kawa